Baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Deportivo Alavés, wachezaji wa Real Madrid walijikuta wakitumia muda wao zaidi kuomba radhi kwa mashabiki kuliko kusherehekea matokeo hayo, katika mechi ya LaLiga iliyopigwa Aprili 21, 2026 kwenye dimba la Santiago Bernabéu.
Ushindi huo ulipatikana kupitia mabao ya Kylian Mbappé na Vinícius Júnior, lakini haukuondoa kabisa hisia za mashabiki..... download Xtra 90 App



