Klabu ya Chelsea imeingia kwenye historia baada ya kuweka rekodi mbaya ambayo haijawahi kutokea tangu mwaka 1912 ya kupoteza mechi tano mfululizo bila kufunga hata bao moja.
Kwa mujibu wa takwimu zilizothibitishwa na Opta, huu ni mfululizo mbaya zaidi wa aina hiyo kwa Chelsea katika zaidi ya miaka 114.
Matokeo ya Mechi 5 Bila Goli:





