Local,Normal News,Singida, Simba, Mafunzo, Mlandege

Singida BS, Simba viwanjani Muungano Cup Zanzibar

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Apr 2026
Singida BS, Simba viwanjani Muungano Cup Zanzibar

Baada ya Yanga na Azam Fc kujihakikishia tiketi ya nusu fainali ya kombe la Muungano ambapo timu hizo zitaumana siku ya Jumamosi, leo mechi nyingine za robo fainali zitapigwa kuamua mechi ya pili ya nusu fainali.

Mapema saa 10:15 jioni, Mlandege watakuwa wenyeji wa Singida BS mchezo utakaopigwa uwanja wa New Amaan Complex.

Je Mlandege wataweza kuizuia Singida BS na kuwa timu ya kwanza kutoka visiwani Zanzibar kufuzu nusu fainali?

Mchezo utakaofuata ni kati ya Simba dhidi ya Mafunzo Fc utakaopigwa saa 2:15 usiku.Β 

Baada ya watani zao Yanga kufuzu nusu fainali ni wazi Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na lengo la kufuzu hatua inayofuata.

Washindi wa mechi hizo watakutana kwenye hatua ya nusu fainali.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
2h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
6h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
7h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
9h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
9h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
13h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
15h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
15h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’