Baada ya Yanga na Azam Fc kujihakikishia tiketi ya nusu fainali ya kombe la Muungano ambapo timu hizo zitaumana siku ya Jumamosi, leo mechi nyingine za robo fainali zitapigwa kuamua mechi ya pili ya nusu fainali.
Mapema saa 10:15 jioni, Mlandege watakuwa wenyeji wa Singida BS mchezo utakaopigwa uwanja wa New Amaan Complex.
Je Mlandege wataweza kuizuia Singida BS na kuwa timu ya..... download Xtra 90 App



