Mabingwa watetezi Manchester City wamefanikiwa kuiondoa Arsenal kileleni mwa msimamo wa Premier League baada ya ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Burnley katika mchezo uliopigwa Jumatano usiku.
Bao pekee la mchezo huo lilifungwa mapema na mshambuliaji nyota Erling Haaland, bao ambalo lilitosha kabisa kuwapa pointi tatu muhimu na kuipandisha City kileleni mwa msimamo wa..... download Xtra 90 App



