Sakata kati ya klabu ya Yanga na vyombo vya habari vya EFM na TVE limechukua sura mpya kufuatia maudhui yaliyorushwa Aprili 17, 2026 kwenye kipindi cha michezo cha Namba 10. Maudhui hayo, yaliyotolewa na mchambuzi Wilson Oruma maarufu kama >Mzee wa Jambia, yameibua mjadala mkubwa miongoni mwa wadau wa soka nchini.
Akizungumza na wanahabari, Mkuu wa Idara ya Michezo wa EFM na TVE, Abbisay..... download Xtra 90 App



