Mlandege yatinga nusu fainali Muungano Cup, yaitupa nje Singida BS

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd April 2026


Mlandege yatinga nusu fainali Muungano Cup, yaitupa nje Singida BS

Mlandege Fc imeiduwaza Singida BS leo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa robo fainali kombe la Muungano.

Baada ya Muembe Makumbi na kVZ kutupwa nje kwenye michuano hiyo jana, Mlandege Fc imekuwa timu ya kwanza ya visiwani Zanzibar kutinga nusu fainali sasa ikisubiri mshindi wa mchezo kati ya Mfunzo dhidi ya Simba.

Singida BS wanarejea Bara kujiandaa na mechi za ligi kuu na kombe la CRDB


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’