Local,Normal News,Mlandege, Singida

Mlandege yatinga nusu fainali Muungano Cup, yaitupa nje Singida BS

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Apr 2026
Mlandege yatinga nusu fainali Muungano Cup, yaitupa nje Singida BS

Mlandege Fc imeiduwaza Singida BS leo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa robo fainali kombe la Muungano.

Baada ya Muembe Makumbi na kVZ kutupwa nje kwenye michuano hiyo jana, Mlandege Fc imekuwa timu ya kwanza ya visiwani Zanzibar kutinga nusu fainali sasa ikisubiri mshindi wa mchezo kati ya Mfunzo dhidi ya Simba.

Singida BS wanarejea Bara kujiandaa na mechi za ligi kuu na kombe la CRDB

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
13h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
15h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
16h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
18h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’