Klabu ya Simba imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Muungano baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Mafunzo FC katika mchezo wa robo fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex.
Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa, Simba ilionekana kupoteza nafasi kadhaa za wazi kipindi cha kwanza, huku safu ya ushambuliaji ikishindwa kuzitumia..... download Xtra 90 App



