Local,Normal News,Yanga, Simba

Kariakoo Derby sasa kupigwa dimba la Isamuhyo

Joel JJ By Joel JJ
24 Apr 2026
Kariakoo Derby sasa kupigwa dimba la Isamuhyo

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imethibitisha mabadiliko ya uwanja kwa mchezo namba 169 wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Simba SC na Yanga SC, ambao umepangwa kuchezwa tarehe 03 Mei.

Awali, mchezo huo ulitarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, sasa umehamishiwa katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo uliopo Mbweni, Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa ya TPLB, mabadiliko hayo yamefanyika kutokana na Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungwa kwa ajili ya matengenezo.

Mchezo huo mkubwa wa “Dabi ya Kariakoo” unatarajiwa kupigwa majira ya saa 12:00 jioni.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
2h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
8h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
10h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
12h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
12h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE →