Kocha Simba aipigia hesabu kali Mlandege Fc, Nusu Fainali Muungano Cup

Joel JJ By Joel JJ • 25th April 2026


Kocha Simba aipigia hesabu kali Mlandege Fc, Nusu Fainali Muungano Cup

Kikosi cha Simba SC kimepania kufuzu hatua ya fainali ya Kombe la Muungano baada ya kocha mkuu Steve Barker kueleza wazi kuwa lengo lao ni kupata ushindi dhidi ya Mlandege FC katika mchezo wa nusu fainali utakaopigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar.

Simba inatarajiwa kushuka dimbani huku ikiingia kwenye mchezo huo ikijua wazi haitakuwa kazi rahisi..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →