Klabu ya FC Barcelona imeendelea kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Getafe CF katika mchezo uliochezwa leo Jumamosi, Aprili 25, 2026.
Ushindi huo umeifanya Barcelona kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi 11 dhidi ya Real Madrid, ikiwa imebaki na michezo mitano kabla ya msimu kumalizika.





