Kikosi cha Simba SC kinatarajiwa kushuka dimbani leo Jumapili katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Mlandege FC katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Muungano, ukiwa ni mtihani muhimu utakaopamua hatma ya safari yao kuelekea fainali.
Ni dakika 90 za maamuzi kwa Wekundu wa Msimbazi, ambapo ushindi pekee utawatosha kuwapeleka moja kwa moja fainali ya mashindano hayo ya..... download Xtra 90 App



