Klabu ya Chelsea imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la FA baada ya ushindi mwembamba wa mabao 1-0 dhidi ya Leeds United katika nusu fainali iliyochezwa dimbani Wembley.
Bao pekee la mchezo huo lilifungwa na kiungo nyota Enzo Fernándezdakika ya 23, akimalizia vizuri mpira wa krosi uliopigwa ndani ya boksi.
Licha ya kuonyesha ubora mkubwa kipindi cha kwanza, Chelsea walilazimika..... download Xtra 90 App



