Hatimaye pazia la nusu fainali limefungwa kwa kishindo, na sasa macho yote yanaelekezwa kwenye dabi ya Kariakoo baada ya Simba SC kutinga fainali ya Kombe la Muungano kwa ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Mlandege FC.
Mchezo huo uliopigwa katika dimba la New Amaan Complex ulishuhudia Simba ikionyesha ubora mkubwa licha ya kocha Steve Barker kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi na..... download Xtra 90 App



