Nahodha wa timu ya Taifa Ya Tanzania, Mbwana Samatta, ameendelea kung’ara katika ligi kuu ya Ufaransa (Ligue 1) baada ya kufunga tena katika mchezo uliopigwa Jumapili, Aprili 26, 2026.
Samatta, anayekipiga katika klabu ya Le Havre AC, alifunga bao la mapema katika dakika za mwanzo za mchezo dhidi ya FC Metz mchezo uliomalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 4-4.





