Mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele, aliibuka shujaa wa mchezo baada ya kufunga mabao mawili yaliyoipa timu yake ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Al Ahly katika mechi ya Ligi Kuu ya Misri iliyopigwa kwenye Uwanja wa 30 June jijini Cairo, Jumatatu usiku.
Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila mabao, Pyramids walirejea kwa kasi kipindi cha pili wakionyesha dhamira ya kutwaa..... download Xtra 90 App



