Timu ya taifa ya Brazil imepata pigo kubwa baada ya beki wake tegemeo, Éder Militão, kuthibitishwa kuwa huenda akakosa Kombe la Dunia 2026 kufuatia jeraha la nyonga (hamstring) lililomlazimu kufanyiwa upasuaji.
Kwa mujibu wa taarifa, Militão aliumia wakati wa mechi ya Real Madrid dhidi ya Alavés mwezi Aprili 2026, baada ya kushika nyonga ya mguu wake wa kushoto na kutolewa uwanjani..... download Xtra 90 App



