Ligi Kuu NBC kuendelea leo, raundi ya 20

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th April 2026


Ligi Kuu NBC kuendelea leo, raundi ya 20

Baada ya kuhitimishwa kwa michuano ya kombe la Muungano jana Simba wakiibuka mabingwa kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani zao Yanga katika mchezo wa fainali uliopigwa uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar, mikiki ya ligi kuu ya NBC inarejea leo mechi za raundi ya 20 zikianza.

Mchezo wa mapema, Fountain Gate wataikaribisha Pamba Jiji katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 8 mchana.

Mbeya City watakuwa wenyeji wa Mashujaa Fc katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sokoine saa 10:15 ukiwa ni mchezo wa kwanza tangu kufunguliwa kwa dimba la Sokoine.

Dimba la KMC Complex, utapigwa mchezo mwingine ambapo JKT Tanzania watakuwa wenyeji wa KMC mchezo utakaopigwa saa 12:30 jion.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’