Local,Normal News,KMC, JKT, Mbeya, Mashujaa, Fountan, Pamba

Ligi Kuu NBC kuendelea leo, raundi ya 20

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Apr 2026
Ligi Kuu NBC kuendelea leo, raundi ya 20

Baada ya kuhitimishwa kwa michuano ya kombe la Muungano jana Simba wakiibuka mabingwa kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani zao Yanga katika mchezo wa fainali uliopigwa uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar, mikiki ya ligi kuu ya NBC inarejea leo mechi za raundi ya 20 zikianza.

Mchezo wa mapema, Fountain Gate wataikaribisha Pamba Jiji katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 8 mchana.

Mbeya City watakuwa wenyeji wa Mashujaa Fc katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sokoine saa 10:15 ukiwa ni mchezo wa kwanza tangu kufunguliwa kwa dimba la Sokoine.

Dimba la KMC Complex, utapigwa mchezo mwingine ambapo JKT Tanzania watakuwa wenyeji wa KMC mchezo utakaopigwa saa 12:30 jion.

More Stories

Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
1h ago
READ MORE β†’
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
1h ago
READ MORE β†’
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
2h ago
READ MORE β†’
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
2h ago
READ MORE β†’
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
10h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
14h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
15h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
17h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
17h ago
READ MORE β†’