Shangwe na nderemo zimetawala jijini Dar es Salaam kufuatia kurejea kwa mabingwa wapya wa Kombe la Muungano, Simba SC, waliowasili kutoka Zanzibar walikokwenda kuweka historia nyingine muhimu.
Simba walitwaa taji hilo baada ya ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi Yanga SC katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye New Amaan Complex. Ushindi huo ulihitaji dakika 120..... download Xtra 90 App



