Local,Normal News,Simba

Simba yarejea Dar, mashabiki wamiminika kupokea taji

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Apr 2026
Simba yarejea Dar, mashabiki wamiminika kupokea taji

Shangwe na nderemo zimetawala jijini Dar es Salaam kufuatia kurejea kwa mabingwa wapya wa Kombe la Muungano, Simba SC, waliowasili kutoka Zanzibar walikokwenda kuweka historia nyingine muhimu.

Simba walitwaa taji hilo baada ya ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi Yanga SC katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye New Amaan Complex. Ushindi huo ulihitaji dakika 120 kuamuliwa.

Mara baada ya kuwasili bandarini, walipokelewa kwa shangwe kubwa na maelfu ya mashabiki wa Simba waliomiminika kusherehekea mafanikio hayo.

Huu ni ubingwa wa pili kwa Simba tangu mashindano ya Kombe la Muungano yaliporejeshwa rasmi mwaka 2024, ukiwa ni ubingwa wa 7 katika historia ya jumla ya mashindano hayo.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
4h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
8h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
9h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
11h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
11h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
15h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
17h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
17h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’