Mshambuliaji wa kimataifa wa Kenya, Elvis Rupia, ameondoka katika klabu ya Singida Black Stars (Singida BS) aliyokuwa akiitumikia, kufuatia mgogoro unaodaiwa kuhusiana na malipo ya fedha za usajili.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na mchezaji huyo, Rupia amekuwa na mvutano na uongozi wa klabu hiyo kutokana na madai ya kutolipwa stahiki zake, hali iliyopelekea kufikia uamuzi wa..... download Xtra 90 App



