Hansi Flick akubali kuongeza mkataba Barcelona hadi 2028

Joel JJ By Joel JJ • 1st May 2026


Hansi Flick akubali kuongeza mkataba Barcelona hadi 2028

Kocha wa klabu ya FC Barcelona Hansi Flick, amekubali kuongeza mkataba wake wa kuendelea kuinoa timu hiyo hadi mwaka 2028, kwa mujibu wa Fabrizio Romano.

Taarifa hizo zinaeleza kuwa mazungumzo kati ya uongozi wa Barcelona na wakala wa Flick yamefikia hatua ya makubaliano ya awali, ambapo pande zote mbili zimeonyesha kuridhishwa na mwelekeo wa mradi wa klabu hiyo chini ya kocha huyo..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →