Local,Normal News,Yanga, Simba

Yanga yafanya maandalizi Zanzibar, tayari kuikabili Simba Jumapili

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 May 2026
Yanga yafanya maandalizi Zanzibar, tayari kuikabili Simba Jumapili

Wakati watani zao Simba wakirejea jijini Dar es salaam jana baada ya kutwaa kombe la Muungano, kikosi cha Yanga kilisalia visiwani Zanzibar kujiandaa na mchezo wa ligi kuu utakaowakutanisha na Simba kwa mara ya pili katika kipindi cha siku tano.

Jumapili May 03 timu hizo zitachuana tena katika mchezo wa ligi kuu ambao matokeo yake huenda yakawa na maamuzi kwenye mbio za ubingwa msimu huu.

Yanga chini ya kocha Pedro Goncalves imepania kulipa kisasi dhidi ya kipigo kutoka kwa watani zao Simba na kumaliza mfululizo wa mechi 7 za bila ushindi kwa Simba.

Meneja wa Yanga Walter Harrison amesema wanaendelea na maandalizi yao kuelekea mchezo huku akibainisha kuwa wachezaji wao wote wako katika hali nzuri, hakuna changamoto za majeruhi wapya baada ya fainali ya komb la Muungano.

More Stories

Nyota Geita Gold afunguka rafu ya Aziz KI, Ilikuwa bahati mbaya
Nyota Geita Gold afunguka rafu ya Aziz KI, Ilikuwa bahati mbaya
1h ago
READ MORE β†’
LAPORTA: Atletico kumuuza Alvarez kwa timu yeyote isipokuwa Barcelona
LAPORTA: Atletico kumuuza Alvarez kwa timu yeyote isipokuwa Barcelona
3h ago
READ MORE β†’
Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
5h ago
READ MORE β†’
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
5h ago
READ MORE β†’
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
6h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
6h ago
READ MORE β†’
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
7h ago
READ MORE β†’
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
14h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
19h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
19h ago
READ MORE β†’