Mgogoro mkubwa umeibuka ndani ya klabu ya Real Madrid baada ya kiungo Dani Ceballos kuingia kwenye mvutano mkali na kocha Álvaro Arbeloa, hali iliyofikia hatua ya kuvunjika kabisa kwa uhusiano wao.
Kwa mujibu wa ripoti kutoka gazeti la Marca, Ceballos hataitwa tena kwenye kikosi cha mechi hadi mwisho wa msimu, huku Arbeloa akidaiwa “hataki hata kumuona” mchezaji huyo.





