Kocha wa zamani wa Manchester United, Alex Ferguson, amekimbizwa hospitali kufuatia kuugua ghafla alipokuwa katika dimba la Old Trafford Jumapili, Mei 3, 2026.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Reuters na The Guardian, Ferguson mwenye umri wa miaka 84 alikuwa amehudhuria mechi ya Ligi Kuu England kati ya Manchester United na Liverpool kabla ya kuhisi kuumwa.





