Dube uso kwa uso na Fei Toto mbio za ufungaji bora

Joel JJ By Joel JJ β€’ 4th May 2026


Dube uso kwa uso na Fei Toto mbio za ufungaji bora

Mshambuliaji wa Yanga Prince Dube jana aliendeleza kasi yake ya kuzifumania nyavu akifunga bao la kwanza wakati timu yake ikitoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.

Bao hilo lilimfanya Dube afikishe mabao 9 sasa akilingana na kinara wa mabao Feisal Salum ambaye pia amefunga mabao 9.

Dube sasa amehusika katika mabao 13 ya Yanga akitoa pasi nne za mabao wakati Fei Toto akiongoza upande wa asisti pia akiwa nazo 8.

Dube amekuwa katika mwendelezo mzuri tangu alipopona majeruhi akiwa na wastani wa kufunga angalau bao moja katika kila mchezo.

Β 


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’