Local,Normal News,Yanga, Azam

Dube uso kwa uso na Fei Toto mbio za ufungaji bora

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 May 2026
Dube uso kwa uso na Fei Toto mbio za ufungaji bora

Mshambuliaji wa Yanga Prince Dube jana aliendeleza kasi yake ya kuzifumania nyavu akifunga bao la kwanza wakati timu yake ikitoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.

Bao hilo lilimfanya Dube afikishe mabao 9 sasa akilingana na kinara wa mabao Feisal Salum ambaye pia amefunga mabao 9.

Dube sasa amehusika katika mabao 13 ya Yanga akitoa pasi nne za mabao wakati Fei Toto akiongoza upande wa asisti pia akiwa nazo 8.

Dube amekuwa katika mwendelezo mzuri tangu alipopona majeruhi akiwa na wastani wa kufunga angalau bao moja katika kila mchezo.

Β 

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
5h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
10h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
12h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’