Mgunda mambo magumu Namungo Fc, mechi 10 bila ushindi

Joel JJ By Joel JJ • 5th May 2026


Mgunda mambo magumu Namungo Fc, mechi 10 bila ushindi

Kocha Mkuu wa Namungo FC, Juma Mgunda, amekiri wazi kuwa timu yake inapitia kipindi kigumu katika Ligi Kuu NBC baada ya kushindwa kupata ushindi katika mechi 10 mfululizo.

Akizungumza kuhusu mwenendo huo, Mgunda amesema changamoto kubwa imekuwa ni ukame wa mabao kwa washambuliaji wake, huku akisisitiza kuwa safu ya ulinzi inapaswa kuwa imara zaidi hasa pale timu inaposhindwa kutumia..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →