Klabu ya Athletic Club imemtangaza rasmi Edin Terzic kuwa kocha mkuu mpya, akichukua mikoba ya Ernesto Valverde. Terzic amesaini mkataba utakaomuweka klabuni hapo hadi june 2028, katika viunga vya dimba la san mames.
Kocha huyo raia wa ujerumani anajiunga na bilbao, ambapo aliwahi kuiongoza timu hiyo hadi kufika fainali ya UEFA Champions League. Uzoefu huo unampa hadhi ya kuaminiwa kuleta..... download Xtra 90 App



