Local,Normal News,Azam , Namungo

Fei aendeleza kutupia, Namungo Fc yalala 1-0 mbele ya Azam FC

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 May 2026
Fei aendeleza kutupia, Namungo Fc yalala 1-0 mbele ya Azam FC

Azam Fc imeendeleza wimbi la ushindi uwanja wa Azam Complex leo ikiichapa Namungo Fc bao 1-0 katika mchezo uliokuwa na upinzani mkali.

Alikuwa ni Feisal Salum 'Fei Toto' aliyefunga bao pekee la Azam Fc kupitia mkwaju wa penati kwenye dakika ya 42 baada ya Japhet Kitambala kufanyiw madhambi ndani ya eneo la hatari.

Namungo Fc walikuwa na nafasi ya kurejea mchezoni lakini walipoteza nafasi adimu ya mkwaju wa penati kwenye kipindi cha pili

Fei Toto sasa amerejea juu kwenye mbio za ufungaji bora akifikisha mabao 10, akiendeleza rekodi yake bora ya kufunga na kutoa pasi za mabao msimu huu.

Nyota huyo wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' pia ni kinara wa pasi za mabao (8)

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
6h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
11h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
11h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
13h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
14h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
17h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
19h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
20h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’