Fei aendeleza kutupia, Namungo Fc yalala 1-0 mbele ya Azam FC

Joel JJ By Joel JJ • 5th May 2026


Fei aendeleza kutupia, Namungo Fc yalala 1-0 mbele ya Azam FC

Azam Fc imeendeleza wimbi la ushindi uwanja wa Azam Complex leo ikiichapa Namungo Fc bao 1-0 katika mchezo uliokuwa na upinzani mkali.

Alikuwa ni Feisal Salum 'Fei Toto' aliyefunga bao pekee la Azam Fc kupitia mkwaju wa penati kwenye dakika ya 42 baada ya Japhet Kitambala kufanyiw madhambi ndani ya eneo la hatari.

Namungo Fc walikuwa na nafasi ya kurejea mchezoni lakini walipoteza..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →