Fei aendeleza kutupia, Namungo Fc yalala 1-0 mbele ya Azam FC

Joel JJ By Joel JJ β€’ 5th May 2026


Fei aendeleza kutupia, Namungo Fc yalala 1-0 mbele ya Azam FC

Azam Fc imeendeleza wimbi la ushindi uwanja wa Azam Complex leo ikiichapa Namungo Fc bao 1-0 katika mchezo uliokuwa na upinzani mkali.

Alikuwa ni Feisal Salum 'Fei Toto' aliyefunga bao pekee la Azam Fc kupitia mkwaju wa penati kwenye dakika ya 42 baada ya Japhet Kitambala kufanyiw madhambi ndani ya eneo la hatari.

Namungo Fc walikuwa na nafasi ya kurejea mchezoni lakini walipoteza nafasi adimu ya mkwaju wa penati kwenye kipindi cha pili

Fei Toto sasa amerejea juu kwenye mbio za ufungaji bora akifikisha mabao 10, akiendeleza rekodi yake bora ya kufunga na kutoa pasi za mabao msimu huu.

Nyota huyo wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' pia ni kinara wa pasi za mabao (8)


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’