Local,Normal News,Simba, Yanga, JKT, KMC, Mtibwa, Dodoma

Yanga, Simba viwanjani Ligi Kuu NBC leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 May 2026
Yanga, Simba viwanjani Ligi Kuu NBC leo

Baada ya kutoana jasho kwenye mchezo wa Kariakoo Derby May 03 uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kumalizika kwa matokeo ya sare y mabao 2-2, klabu za Simba na Yanga leo tena zinashuka viwanjani katika mechi za raundi ya 21 ligi kuu ya NBC.

Mabingwa watetezi, Yanga wao watashuka uwanja wa KMC Complex kumenyana na 'vibonde' KMC katika mchezo ambao Yanga wanapewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi.

Ni vita kati ya vinara wa ligi dhidi ya timu inayoburuza mkia, ikiwa imekusanya alama 9 tu kutoka michezo 20.

Nao Simba wao watakuwa na 'shughuli pevu' pale Jeshini Meja Jenerali Isamuhyo watakapokanbiliana na JKT Tanzania.

Ni mchezo unaozikutanisha timu mbili zinazotumia uwanja wa Isamuhyo kama uwanja wa nyumbani, unaweza kusema ni dabi ya Isamuhyo.

Mchezo wa mwisho siku ya leo ni kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa uwanja wa Azam Complex.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’