Klabu ya Simba SC inatajwa kuingia kwenye mazungumzo ya kumuwania kiungo mkabaji Ibrahim Bance kutoka Marumo Gallants ya Afrika Kusini.
Kiungo huyo raia wa Burkina Faso anatajwa kuwa chaguo la kocha wa Simba, Steve Barker, ambaye anaamini ataongeza nguvu katika eneo la kiungo mkabaji ndani ya timu hiyo.
Barker anatafuta mbadala sahihi wa Allasane Kante, ambaye ameripotiwa huenda..... download Xtra 90 App



