Habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa uongozi wa timu yao umekamilisha mazungumzo ya awali ya kumuongeza mkataba mshambuliaji wake kinara, Prince Dube, katika juhudi za kuhakikisha anaendelea kubaki ndani ya kikosi hicho, imefahamika.
Dube ni miongoni mwa wachezaji muhimu katika kikosi cha Yanga ambao mikataba yao inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu, hali iliyolazimu klabu..... download Xtra 90 App



