Klabu ya Simba imetangaza kuhamia uwanja wa KMC Complex na kwamba mechi za msimu huu zilizobaki zitapigwa katika uwanja huo.
Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imebainisha kuwa hali ya hewa ya mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar es salaam ni moja ya sababu iliyopelekea uamuzi huo
“Kutokana na hali ya hewa ya mvua kuendelea kunyesha jijini Dar es Salaam kikosi chetu kimerejea..... download Xtra 90 App



