Local,Normal News,Simba

Simba yahamia KMC Complex

Joel JJ By Joel JJ
7 May 2026
Simba yahamia KMC Complex

Klabu ya Simba imetangaza kuhamia uwanja wa KMC Complex na kwamba mechi za msimu huu zilizobaki zitapigwa katika uwanja huo.

Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imebainisha kuwa hali ya hewa ya mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar es salaam ni moja ya sababu iliyopelekea uamuzi huo

“Kutokana na hali ya hewa ya mvua kuendelea kunyesha jijini Dar es Salaam kikosi chetu kimerejea kucheza mechi za nyumbani katika Uwanja wa KMC Complex”

“Hii ina maana kuwa mechi zetu zilizosalia zamsimu wa Ligi Kuu ya NBC 2025/2026 ambazo tutakuwa nyumbani tutacheza katika Uwanja wa KMC Complex”

“Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utapigwa Jumapili Mei 10 utakuwa wa kwanza kupigwa katika Uwanjawa KMC Complex,” ilibainisha taarifa ya Simba

More Stories

Nyota Geita Gold afunguka rafu ya Aziz KI, Ilikuwa bahati mbaya
Nyota Geita Gold afunguka rafu ya Aziz KI, Ilikuwa bahati mbaya
31m ago
READ MORE →
LAPORTA: Atletico kumuuza Alvarez kwa timu yeyote isipokuwa Barcelona
LAPORTA: Atletico kumuuza Alvarez kwa timu yeyote isipokuwa Barcelona
2h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
4h ago
READ MORE →
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
4h ago
READ MORE →
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
5h ago
READ MORE →
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
5h ago
READ MORE →
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
6h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
13h ago
READ MORE →
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
18h ago
READ MORE →
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
18h ago
READ MORE →