Simba yahamia KMC Complex

Joel JJ By Joel JJ • 7th May 2026


Simba yahamia KMC Complex

Klabu ya Simba imetangaza kuhamia uwanja wa KMC Complex na kwamba mechi za msimu huu zilizobaki zitapigwa katika uwanja huo.

Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imebainisha kuwa hali ya hewa ya mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar es salaam ni moja ya sababu iliyopelekea uamuzi huo

“Kutokana na hali ya hewa ya mvua kuendelea kunyesha jijini Dar es Salaam kikosi chetu kimerejea kucheza mechi za nyumbani katika Uwanja wa KMC Complex”

“Hii ina maana kuwa mechi zetu zilizosalia zamsimu wa Ligi Kuu ya NBC 2025/2026 ambazo tutakuwa nyumbani tutacheza katika Uwanja wa KMC Complex”

“Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utapigwa Jumapili Mei 10 utakuwa wa kwanza kupigwa katika Uwanjawa KMC Complex,” ilibainisha taarifa ya Simba


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE →
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE →
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE →
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE →
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE →
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE →
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE →
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE →
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE →
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE →