Local,Normal News,Azam, TRA, Namungo, Mashujaa

Azam Fc mikononi mwa TRA United ligi kuu ya NBC leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 May 2026
Azam Fc mikononi mwa TRA United ligi kuu ya NBC leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ikiingia mzunguuko wa 22 ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa.

TRA United itakuwa mwenyeji wa Azam Fc katika mchezo mkali unaotarajiwa kupigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid leo.

Ni mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali hasa kwa kuzngatia ubora wa timu zote.

Namungo Fc nao watakuwa uwanja wa Majaliwa kuikabili Mashujaa Fc katika mchezo utakaowakutanisha makocha wa zamani watimu ya Taifa Juma Mgunda na Jamhuri Kiwhelo 'Julio'

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
4h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
8h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
9h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
11h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
11h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
15h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
17h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
17h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’