Azam Fc mikononi mwa TRA United ligi kuu ya NBC leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 8th May 2026


Azam Fc mikononi mwa TRA United ligi kuu ya NBC leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ikiingia mzunguuko wa 22 ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa.

TRA United itakuwa mwenyeji wa Azam Fc katika mchezo mkali unaotarajiwa kupigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid leo.

Ni mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali hasa kwa kuzngatia ubora wa timu zote.

Namungo Fc nao watakuwa uwanja wa Majaliwa kuikabili Mashujaa Fc katika mchezo utakaowakutanisha makocha wa zamani watimu ya Taifa Juma Mgunda na Jamhuri Kiwhelo 'Julio'


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’