Azam Fc mikononi mwa TRA United ligi kuu ya NBC leo

Joel JJ By Joel JJ • 8th May 2026


Azam Fc mikononi mwa TRA United ligi kuu ya NBC leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ikiingia mzunguuko wa 22 ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa.

TRA United itakuwa mwenyeji wa Azam Fc katika mchezo mkali unaotarajiwa kupigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid leo.

Ni mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali hasa kwa kuzngatia ubora wa timu zote.

Namungo Fc nao watakuwa uwanja wa Majaliwa kuikabili Mashujaa Fc katika mchezo..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →