Klabu ya Simba SC inaendelea kujiimarisha kuelekea msimu ujao, ambapo sasa imeelezwa kuwa inamfuatilia mshambuliaji wa klabu ya FC Saint-Éloi Lupopo, Henoc Molia, anayesifika kwa kiwango bora katika Ligi Kuu ya DR Congo.
Taarifa zinaeleza kuwa Simba SC imeonyesha nia ya kumsajili Molia, ambaye kwa sasa anaichezea Lupopo na amekuwa mmoja wa wachezaji waliovutia zaidi msimu..... download Xtra 90 App



