Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu NBC, Young Africans S.C. wameendelea kuonyesha ubora wao baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union F.C. katika mchezo uliopigwa kwenye KMC Complex.
Wananchi waliingia uwanjani wakiwa na dhamira ya wazi ya kusaka pointi tatu muhimu, jambo..... download Xtra 90 App



