Aigle Noir watwaa ubingwa Burundi

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th May 2026


Aigle Noir watwaa ubingwa Burundi

Timu ya Aigle Noir CS imetawazwa rasmi kuwa Bingwa wa Ligue A Burundi Msimu wa 2025-2026 katika Sherehe iliyofanyika kwenye uwanja wa NPPC.

Aigle Noir, wanaojulikana pia kama β€œThe Fighters”, walihitimisha Msimu wakiwa na pointi 71, idadi sawa ya alama walizokuwa nazo walipotwaa Ubingwa msimu uliopita.

Mbali na kunyanyua Kombe la Ligi Kuu, Mabingwa hao pia walikabidhiwa zawadi ya fedha taslimu kiasi cha faranga Milioni 50 za Burundi kutokana na mafanikio yao ya msimu huu.

Ubingwa huo unaendelea kuthibitisha ubora wa Aigle Noir CS katika soka la Burundi baada ya kuendelea kutawala Ligi Kuu kwa misimu miwili mfululizo.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’