International,Normal News,Noir

Aigle Noir watwaa ubingwa Burundi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 May 2026
Aigle Noir watwaa ubingwa Burundi

Timu ya Aigle Noir CS imetawazwa rasmi kuwa Bingwa wa Ligue A Burundi Msimu wa 2025-2026 katika Sherehe iliyofanyika kwenye uwanja wa NPPC.

Aigle Noir, wanaojulikana pia kama β€œThe Fighters”, walihitimisha Msimu wakiwa na pointi 71, idadi sawa ya alama walizokuwa nazo walipotwaa Ubingwa msimu uliopita.

Mbali na kunyanyua Kombe la Ligi Kuu, Mabingwa hao pia walikabidhiwa zawadi ya fedha taslimu kiasi cha faranga Milioni 50 za Burundi kutokana na mafanikio yao ya msimu huu.

Ubingwa huo unaendelea kuthibitisha ubora wa Aigle Noir CS katika soka la Burundi baada ya kuendelea kutawala Ligi Kuu kwa misimu miwili mfululizo.

More Stories

Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
1h ago
READ MORE β†’
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
1h ago
READ MORE β†’
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
2h ago
READ MORE β†’
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
2h ago
READ MORE β†’
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
10h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
14h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
15h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
17h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
17h ago
READ MORE β†’