Sintofahamu kuugua ghafla kwa wachezaji Azam Fc

Joel JJ By Joel JJ β€’ 10th May 2026


Sintofahamu kuugua ghafla kwa wachezaji Azam Fc

Wachezaji saba wa klabu ya Azam wameripotiwa kupata maumivu makali ya tumbo na kichwa ambapo wengi wao wamekimbizwa hospital ili kupatiwa matibabu.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi ya nyota wa kikosi hicho walionyesha dalili za kutokuwa sawa kiafya hali iliyowalazimu kupata uangalizi wa karibu kutoka kwa madaktari wa timu huku nyota Ashraf kibeku akidai alianza kuhisi vibaya mnamo dakika ya 20 wakati mechi yao na TRA inaendelea.

Wachezaji wengine ambao wameripotiwa kukumbwa na shida ya kiafya ni pamoja na Faisal Salum, Lusajo Mwaikenda na Pascal Msindo ambaye pia inaelezwa anapata shida kwenye kupumua na kooni kwake.

Hata hivyo hakuna taarifa rasmi kutoka uongozi wa Azam FC kuhusu chanzo cha hali hiyo wala ukubwa wa tatizo hilo.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’