Wachezaji saba wa klabu ya Azam wameripotiwa kupata maumivu makali ya tumbo na kichwa ambapo wengi wao wamekimbizwa hospital ili kupatiwa matibabu.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi ya nyota wa kikosi hicho walionyesha dalili za kutokuwa sawa kiafya hali iliyowalazimu kupata uangalizi wa karibu kutoka kwa madaktari wa timu huku nyota Ashraf kibeku akidai alianza kuhisi vibaya mnamo..... download Xtra 90 App



