Vilabu vikubwa vya soka barani Ulaya vinaendelea kupambana kimyakimya sokoni huku dirisha la usajili wa majira ya kiangazi likikaribia kufunguliwa rasmi. Tetesi za leo kutoka vyombo mbalimbali vya habari vya michezo zinaonyesha kuwa majina makubwa yanaweza kubadili klabu kabla ya msimu mpya kuanza.
Manchester United wameendelea kuhusishwa na kiungo wa Brighton & Hove Albion, Carlos..... download Xtra 90 App



