Nsajigwa mambo magumu Tanzania Prisons

Joel JJ By Joel JJ β€’ 11th May 2026


Nsajigwa mambo magumu Tanzania Prisons

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa bado anaendelea kusaka ushindi wake wa kwanza katika Ligi Kuu NBC Tanzania Bara tangu ajiunge na kikosi hicho.

Nsajigwa ambaye aliwahi kuwa nahodha wa Yanga ameiongoza Tanzania Prisons katika michezo tisa ya ligi kuu bila kupata ushindi hata mmoja, hali inayozidi kuongeza presha ndani ya timu hiyo.

Katika mechi hizo tisa, Prisons imefanikiwa kupata sare mbili pekee huku ikipoteza michezo saba.

Matokeo ya Tanzania Prisons chini ya Nsajigwa yamekuwa kama ifuatavyo:

  • 0-0 dhidi ya Azam FC
  • 0-1 dhidi ya Yanga
  • 1-2 dhidi ya Singida Black Stars
  • 0-1 dhidi ya TMA Stars
  • 0-3 dhidi ya Yanga
  • 1-1 dhidi ya KMC FC
  • 0-3 dhidi ya TRA United
  • 1-2 dhidi ya Mbeya City FC
  • 0-4 dhidi ya Simba SC

Matokeo hayo yanaifanya Tanzania Prisons kuendelea kuwa kwenye wakati mgumu ikisalia kwenye nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi ikiwa imekusanya alama 14 tu.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’