Local,Normal News,Prisons

Nsajigwa mambo magumu Tanzania Prisons

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 May 2026
Nsajigwa mambo magumu Tanzania Prisons

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa bado anaendelea kusaka ushindi wake wa kwanza katika Ligi Kuu NBC Tanzania Bara tangu ajiunge na kikosi hicho.

Nsajigwa ambaye aliwahi kuwa nahodha wa Yanga ameiongoza Tanzania Prisons katika michezo tisa ya ligi kuu bila kupata ushindi hata mmoja, hali inayozidi kuongeza presha ndani ya timu hiyo.

Katika mechi hizo tisa, Prisons imefanikiwa kupata sare mbili pekee huku ikipoteza michezo saba.

Matokeo ya Tanzania Prisons chini ya Nsajigwa yamekuwa kama ifuatavyo:

  • 0-0 dhidi ya Azam FC
  • 0-1 dhidi ya Yanga
  • 1-2 dhidi ya Singida Black Stars
  • 0-1 dhidi ya TMA Stars
  • 0-3 dhidi ya Yanga
  • 1-1 dhidi ya KMC FC
  • 0-3 dhidi ya TRA United
  • 1-2 dhidi ya Mbeya City FC
  • 0-4 dhidi ya Simba SC

Matokeo hayo yanaifanya Tanzania Prisons kuendelea kuwa kwenye wakati mgumu ikisalia kwenye nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi ikiwa imekusanya alama 14 tu.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
2h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
6h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
7h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
9h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
9h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
13h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
15h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
15h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’