Baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Leeds United Jumatatu usiku, Tottenham Hotspur wamejikuta wakitembea kwenye ukingo wa janga kubwa zaidi katika historia yao ya karibuni.
Spurs walikuwa na nafasi ya kujiondoa kwenye presha ya kushuka daraja baada ya West Ham United kupoteza dhidi ya Arsenal, lakini wakashindwa kuitumia. Sasa tofauti ni alama mbili pekee: Spurs wana 38 huku West Ham wakiwa na..... download Xtra 90 App



