Singida Black Stars imepata ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Airtel Mtipa mjini Singida, huku Mossi Ndumumwe akiwa shujaa kwa kufunga bao pekee la mchezo huo.
Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa ulishuhudia Singida BS wakitumia vizuri faida ya uwanja wa nyumbani na kupata bao muhimu lililowapa alama zote tatu muhimu..... download Xtra 90 App



