Rais wa Real Madrid Florentino Perez, ameweka wazi kuwa hana mpango wa kujiuzulu na badala yake atagombea tena nafasi ya urais wa klabu hiyo kubwa ya Hispania.
Akizungumza katika mkutano wa dharura na wanahabari uliofanyika leo Jumanne, Mei 12, 2026, Pérez alisema kuwa kuna kampeni maalum inayolenga kumchafua na kuivuruga Real Madrid, hasa baada ya klabu hiyo kupitia kipindi kigumu..... download Xtra 90 App



