Local,Normal News,Yanga, Dodoma, Mbeya, Coastal

Ligi Kuu ya NBC May 13, mechi mbili kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 May 2026
Ligi Kuu ya NBC May 13, mechi mbili kupigwa leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mzunguuko wa 23 ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa.

Mchezo wa mapema saa nane mchana, Mbeya City wataikaribisha Coastal Union katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sokoine.

Ni wazi Mbeya City wanahitaji ushindi ili kujiweka katika nafasi nzuri kujiondoa kwenye hatari ya kushuka daraja.

Mchezo unosubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa soka ni kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Yanga utakaopigwa saa 10 jioni kwenye uwanja wa Airtel Mtipa mkoani Singida.

Dodoma Jiji ni wenyeji wa mchezo huo lakini unapigwa mkoani Singida kutokana na kufungiwa kwa uwanja wa Jamhuri.

Ushindi kwa Yanga utazidi kuwaweka Wananchi katika nafasi nzuri ya kutetea ubingwa wakati alama tatu kwa Dodoma Jiji itawaweka kwenye nafasi nzuri katika msimamo.

More Stories

Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
2h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
3h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
5h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
5h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
9h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
11h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
11h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
1d ago
READ MORE β†’