Shirikisho la Soka Brazil (CBF) limeweka wazi kikosi cha awali cha wachezaji 55 kitakachotumika kujiandaa na Kombe la Dunia 2026, huku majina makubwa ya Neymar Jr na Thiago Silva yakirejea rasmi kwenye mipango ya Seleção.
Kocha wa Brazil, Carlo Ancelotti, amewajumuisha mastaa hao wawili katika kikosi hicho cha muda kuelekea michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika Marekani, Canada na..... download Xtra 90 App



