Ligi Kuu NBC, mechi nne kupigwa leo May 14

Joel JJ By Joel JJ • 14th May 2026


Ligi Kuu NBC, mechi nne kupigwa leo May 14

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo kuhitimisha raundi ya 23 ambapo mechi nne zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali.

Mechi mbili zinatarajiwa kupigwa mapema saa 8 Mtibwa Sugar ikiikaribisha KMC kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogogo huku Tanzania Prisons wakiumana na Fountain Gate dimba la Sokoine mkoani Mbeya.

Mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →